It's
better to be a lion for a day than a sheep all your life.BY
Elizabeth Kenny
Elizabeth Kenny
NIVYEMA KUWA SIMBA KWA MUDA KULIKO KUWA KONDOO MILELE.Inalenga kuwataka watu kutokuwa woga au kuchukuwa maamuzi magumu hatakama wataonekana au kafsirika vibaya katika hali ya ukali zaidi
Winning
is not everything, but wanting to win is.BY
Vince Lombardi
Vince Lombardi
USHINDI SIO KILA KITU BALI KUSUBIRI NDIVYO....Inalenga kuwataka watu kutokukatatamaa pindi maisha au wanapojiona kushindwa katika hali fulani kwani subira pia ni sehemu ya ushindi.
Plato...
MAAMUZI MAZURI HUEGEMEA MAARIFA NA SIO UMRI...Hulenga kuwataka watu kutokufanya maamuzi ambayo sio sahihi kwa madai ya vyeo vyao au umri walionao bali maarifa.
Post a Comment